Saturday, August 16, 2014

NINI MAANA YA DAWA ZA KISUNNA
 TIBA Tiba maana yake ni ujuzi na utambuzi wa aina mbalimbali za maradhi ya binaadamu na namna ya kutibu kwa kutumia madawa yaliotajwa ndani ya Qurani na hadithi za mtume Muhammad rehema na amani ziwe juu yake. Mfano asali imetajwa ndani Qurani na habbat saudaa imetajwa ndani ya hadithi. MARADHI YAMEGAWANYIKA SEHEMU MBILI (1) MARADHI YA KIMWILI AU KIBAYOLOGIA. kivuli hadi ikauke vizuri kasha ihifadhiwe sehemu yenye kivuli na ukavu na wala sio kwenye jua na unyevunyevu au upepeo mkali. (c) Ubora au uhalisi wa dawa. Hapa maana yake ni kua utumie dawa ambayo bado ina hadhi yake ya uhalisi na bado muda wake haujaisha yaani expired. (d) Elimu na ujuzi wa tabibu kuhusu tiba pia ni jambo la msingi kwa sababu haiwezekani mtu akawa tabibu bila ya elimu au fani ya tiba. (e) Uzingatiaji wa mgonjwa kuhusu maelekezo ya tabibu pia ni muhimu kwa kufanikisha kupona kwake. 4  (f) Ni lazima mgonjwa awe na imani na yaqini kuwa ALLAH (S. W.) pekee ndie mponyaji na wala sio daktari wala dawa bali daktari na dawa ni sababu tu .Kuna msemo wa kitauhidi usemao kuwa NI UJINGA KUACHA KUTUMIA DAWA NA NI UKAFIRI KUTEGEMEA DAWA. UTENGENEZAJI WA MADAWA Haya ni maradhi ambayo husibu au kudhuru mwili wa binaadamu na akipimwa hospitalini kupitia vipimo vya kisasa kama vile ultrasound , x ray, kupimwa presha,damu na choo maradhi hua hayaonekani. Mgonjwa huendelea kuumwa ingawaje vipimo havi kivuli hadi ikauke vizuri kasha ihifadhiwe sehemu yenye kivuli na ukavu na wala sio kwenye jua na unyevunyevu au upepeo mkali. (c) Ubora au uhalisi wa dawa. Hapa maana yake ni kua utumie dawa ambayo bado ina hadhi yake ya uhalisi na bado muda wake haujaisha yaani expired. (d) Elimu na ujuzi wa tabibu kuhusu tiba pia ni jambo la msingi kwa sababu haiwezekani mtu akawa tabibu bila ya elimu au fani ya tiba. (e) Uzingatiaji wa mgonjwa kuhusu maelekezo ya tabibu pia ni muhimu kwa kufanikisha kupona kwake. 4  (f) Ni lazima mgonjwa awe na imani na yaqini kuwa ALLAH (S. W.) pekee ndie mponyaji na wala sio daktari wala dawa bali daktari na dawa ni sababu tu .Kuna msemo wa kitauhidi usemao kuwa NI UJINGA KUACHA KUTUMIA DAWA NA NI UKAFIRI KUTEGEMEA DAWA. UTENGENEZAJI WA MADAWA onyeshi maradhi. 2 (2) MARADHI YA KIROHO (SPIRITUAL DISEASES) Haya ni maradhi ambayo binaadamu hua anaumwa na vipimo vya hospitali vinaweza kuonyesha au yasionyeshe maradhi . Maradhi haya hutokana na uovu wa uchawi, majini au husda. MAMBO MUHIMU YA KUZINGATIWA ILI DAWA ZA KISUNNAH ZIWE NA NGUVU AU ATHARI ZA KUTIBU. (a) Jinsi dawa ilivyopandwa shambani pia ni jambo la msingi kuzingatiwa ipandwe sehemu yenye rutuba nzuri na wala wakati wa kupanda usiweke mbolea yenye kemikali. Mmea unaopandwa bila mbolea ya viwandani yenye kemikali huitwa kiutaalamu Organic na mmea unaopandwa kwa mbolea ya kemikali huitwa in organic plants. Hakikisha mmea wa dawa unakua organic kwa sababu haitakua na madhara yoyote. Mmea ambao hupandwa kwa 3 mbolea ya kemikali ya viwandani hua na madhara ya hayo makemikali. Kwa hivyo hakikisha unapata dawa ambayo ni organic. (b) Kuhifadhi dawa baada ya kutoka shambani katika hadhi nzuri na utaalamu katika ghala . Hapa lazima kuanza dawa ikaushwe kweny(2) MARADHI YA KIROHO (SPIRITUAL DISEASES) Haya ni maradhi ambayo binaadamu hua anaumwa na vipimo vya hospitali vinaweza kuonyesha au yasionyeshe maradhi . Maradhi haya hutokana na uovu wa uchawi, majini au husda. MAMBO MUHIMU YA KUZINGATIWA ILI DAWA ZA KISUNNAH ZIWE NA NGUVU AU ATHARI ZA KUTIBU. (a) Jinsi dawa ilivyopandwa shambani pia ni jambo la msingi kuzingatiwa ipandwe sehemu yenye rutuba nzuri na wala wakati wa kupanda usiweke mbolea yenye kemikali. Mmea unaopandwa bila mbolea ya viwandani yenye kemikali huitwa kiutaalamu Organic na mmea unaopandwa kwa mbolea ya kemikali huitwa in organic plants. Hakikisha mmea wa dawa unakua organic kwa sababu haitakua na madhara yoyote. Mmea ambao hupandwa kwa 3 mbolea ya kemikali ya viwandani hua na madhara ya hayo makemikali. Kwa hivyo hakikisha unapata dawa ambayo ni organic. (b) Kuhifadhi dawa baada ya kutoka shambani katika hadhi nzuri na utaalamu katika ghala . Hapa lazima kuanza dawa ikaushwe kweny kivuli hadi ikauke vizuri kasha ihifadhiwe sehemu yenye kivuli na ukavu na wala sio kwenye jua na unyevunyevu au upepeo mkali. (c) Ubora au uhalisi wa dawa. Hapa maana yake ni kua utumie dawa ambayo bado ina hadhi yake ya uhalisi na bado muda wake haujaisha yaani expired. (d) Elimu na ujuzi wa tabibu kuhusu tiba pia ni jambo la msingi kwa sababu haiwezekani mtu akawa tabibu bila ya elimu au fani ya tiba. (e) Uzingatiaji wa mgonjwa kuhusu maelekezo ya tabibu pia ni muhimu kwa kufanikisha kupona kwake. 4  (f) Ni lazima mgonjwa awe na imani na yaqini kuwa ALLAH (S. W.) pekee ndie mponyaji na wala sio daktari wala dawa bali daktari na dawa ni sababu tu .Kuna msemo wa kitauhidi usemao kuwa NI UJINGA KUACHA KUTUMIA DAWA NA NI UKAFIRI KUTEGEMEA DAWA. UTENGENEZAJI kivuli hadi ikauke vizuri kasha ihifadhiwe sehemu yenye kivuli na ukavu na wala sio kwenye jua na unyevunyevu au upepeo mkali. (c) Ubora au uhalisi wa dawa. Hapa maana yake ni kua utumie dawa ambayo bado ina hadhi yake ya uhalisi na bado muda wake haujaisha yaani expired. (d) Elimu na ujuzi wa tabibu kuhusu tiba pia ni jambo la msingi kwa sababu haiwezekani mtu akawa tabibu bila ya elimu au fani ya tiba. (e) Uzingatiaji wa mgonjwa kuhusu maelekezo ya tabibu pia ni muhimu kwa kufanikisha kupona kwake. 4  (f) Ni lazima mgonjwa awe na imani na yaqini kuwa ALLAH (S. W.) pekee ndie mponyaji na wala sio daktari wala dawa bali daktari na dawa ni sababu tu .Kuna msemo wa kitauhidi usemao kuwa NI UJINGA KUACHA
NAMUOMBA MWENYEZI MUNGU ATUNUSURU NA MARADHI MAANA HAKUNA NEEMA KAMA UZIMA.
KILAMTU HUPENDA AWE MZIMA NA UNAPOKUA MGONJWA HUWEZI HATA KUFANYA IBAADA MAANA AFYA HAI RUHUSU.
(2) MARADHI YA KIROHO (SPIRITUAL DISEASES) Haya ni maradhi ambayo binaadamu hua anaumwa na vipimo vya hospitali vinaweza kuonyesha au yasionyeshe maradhi . Maradhi haya hutokana na uovu wa uchawi, majini au husda. MAMBO MUHIMU YA KUZINGATIWA ILI DAWA ZA KISUNNAH ZIWE NA NGUVU AU ATHARI ZA KUTIBU. (a) Jinsi dawa ilivyopandwa shambani pia ni jambo la msingi kuzingatiwa ipandwe sehemu yenye rutuba nzuri na wala wakati wa kupanda usiweke mbolea yenye kemikali. Mmea unaopandwa bila mbolea ya viwandani yenye kemikali huitwa kiutaalamu Organic na mmea unaopandwa kwa mbolea ya kemikali huitwa in organic plants. Hakikisha mmea wa dawa unakua organic kwa sababu haitakua na madhara yoyote. Mmea ambao hupandwa kwa 3 mbolea ya kemikali ya viwandani hua na madhara ya hayo makemikali. Kwa hivyo hakikisha unapata dawa ambayo ni organic. (b) Kuhifadhi dawa baada ya kutoka shambani katika hadhi nzuri na utaalamu katika ghala . Hapa lazima kuanza dawa ikaushwe kwenye kivuli hadi ikauke vizuri kasha ihifadhiwe sehemu yenye kivuli na ukavu na wala sio kwenye jua na unyevunyevu au upepeo mkali. (c) Ubora au uhalisi wa dawa. Hapa maana yake ni kua utumie dawa ambayo bado ina hadhi yake ya uhalisi na bado muda wake haujaisha yaani expired. (d) Elimu na ujuzi wa tabibu kuhusu tiba pia ni jambo la msingi kwa sababu haiwezekani mtu akawa tabibu bila ya elimu au fani ya tiba. (e) Uzingatiaji wa mgonjwa kuhusu maelekezo ya tabibu pia ni muhimu kwa kufanikisha kupona kwake. 4  (f) Ni lazima mgonjwa awe na imani na yaqini kuwa ALLAH (S. W.) pekee ndie mponyaji na wala sio daktari wala dawa bali daktari na dawa ni sababu tu .Kuna msemo wa kitauhidi usemao kuwa NI UJINGA KUACHA KUTUMIA DAWA NA NI UKAFIRI KUTEGEMEA DAWA. UTENGENEZAJI WA MADAWA ZA KISUNNAH KWA MIUNDO MBINU ZA KISASA. Baada ya dawa kutoka shambani kwa mkulima na kuhifadhiwe kwenye ghala au madukani hatimae humfikia tabibu . Tabibu baadae hugeuza dawa hizi ambazo ni katika mfumo wa majani, mbegu, mizizi, maua, magome n.k. katika mfumo mwepesi kwa mgonjwa kuweza kutumia. Dawa imegawanywa kulingana na matumizi ya ndani na n MATUMIZI YA NDANI (INTERNAL USE) (a) Juisi halisi.Hii ni tiba kwa juisi itokanayo na matunda na mboga mbalimbali yenye uwezo wa kutibu maradhi husika. Inajulikana kama JUICE THERAPY.Mfano tiba kwa juisi ya machungwa na karoti kwa kutibu macho yasioona vizuri. (b) Dawa katika mfumo wa urojourojo yaani paste au maajuni. (c) Chai halisi yaani herbal tea. Hii ni dawa katika mfumo wa unga wa dawa ilio sagwa mfano unga wa habasoda. (d) Syrup. Hapa dawa hutengenezwa katika mfumo wa kinywaji kitamu mfano syrup ya mafua. (e) Vidonge na capsules (f) Aromatherapy. Hapa maana yake ni mgonjwa kupewa da kupata harufu ya dawa. Mfano wa mafusho udi mvuke wa mwarubaini au habasoda. MATUMIZI YA NJE ( EXTERNAL USE ). (a) Dawa za kuchua. (b) Sabuni. (c) Jelly au mafuta ya mgando kwa maradhi ya ngozi. (d) Krimu. (e) Mafuta ya nywele yaani hair tonic. (f) Shampoo. (g) Losheni. (h) Dawa za vidonda na majeraha.. HERBAL CLASSIFFICATION: MGAWANYIKO WA DAWA ZA MITI KULINGANA NA UTENDAJI KAZI. Ni lazima tabibu awe na maarifa yafuatayo ili aweze kutengeneza dawa kwa maradhi husika. (a) Uwezo wa dawa kuweza kutibu – cure or healing power. 7  (b) Nutrients percentage. (c) Herbal composition and classification. Elimu au maarifa ya herbal classification ni ujuzi au utambuzi wa uwezo wa kuweza kutibu kwa dawa na katika mgawanyiko kulingana na uwezo na kazi ya dawa. Migawanyiko wa uwezo wa dawa ni kama ifuatavyo; (1) AROMATIC DIGESTIVES. Hizi ni dawa zenye uwezo na nguvu za kuchochea usagaji wa chakula mwilini ufanyike vizuri na kumpa mtu hamu ya kula. Huongeza utengenezaji na utendaji kazi wa vimengenya mwilini vya digestion. Mfano ni iliki, mdalasini, karafuu , pilipili manga.
(2) VASOLIDATORS. Haya ni madawa ambayo hutuliza mwili kutokana na uchovu na maumivu. Hushusha homa, husaidia mzunguko wa damu mwilini. Mfano ni tangawiizi, kitunguu saumu. 8
(3) SEDATIVES AND ANTISPASMODICS. Haya ni madawa ambayo hutuliza maumivu na kumpa mtu utulivu au burudani.- calming and soothing effects mentally and physically. Mfano ni babunaji, nana, passion flowers. (4) DIURETICS (CLEANSING HERBS) Madawa haya husaidia katika kutoa taka mwilini yaani katika excretory system ambayo ni mfumo wa mkojo, jasho, sumu n.k. Mfano ni aloe vera, zaatar n.k. (5) EXPECTORANTS. Ni madawa khasa yenye uwezo wa kusafisha na kutoa taka au maradhi ndani ya mapafu na koo.Mfano zamda ya mbegu. (6) TONIC HERBS. Ni madawa yenye uwezo wa kuongeza nguvu za kiume na mwili kwa jumla. Mfano ni arkisusi, uwatu. Hulinjan n.k

No comments:

Post a Comment